"Kidhibiti Vipakuzi" "Fikia kidhibiti cha vipakuzi" "Inaruhusu programu kufikia kidhibiti vipakuzi na kukitumia ili kupakua faili. Programu hasidi zinaweza kutumia hii ili kutatiza vipakuzi na kufikia maelezo ya kibinafsi." "Vitendaji mahiri vya kisimamizi vipakuzi." "Inaruhusu programu kufikia vitendaji mahiri vya kidhibiti vipakuzi. Programu hasidi zinaweza kutumia hii ili kutatiza vipakuzi na kufikia maelezo ya kibinafsi." "Tuma arifa za vipakuzi." "Inaruhusu programu kutuma notisi kuhusu vipakuzi vilivyokamilika. Programu hasidi zinaweza kutumia hii kuchanganya programu zingine ambazo hupakua faili." "Angalia vipakuzi vyote kwa hifadhi ya USB" "Tazama vipakuzi vyote kwa kadi ya SD" "Inaruhusu programu kuona vipakuzi vyote kwenye kadi ya SD, pasi kuzingatia ni programu gani iliyozipakuwa." "Geuza nafasi katika kache ya kupakua" "Inaruhusu programu kupakua faili kwa kache ya vipakuzi ambayo haiwezi kufutwa kiotomatiki wakati kidhibiti upakuaji kinahitaji nafasi zaidi." "Pakua faili bila kutoa arifa" "Inaruhusu programu kupakua faili kupitia kidhibiti vipakuzi bila notisi yoyote kuonyeshwa kwa mtumiaji." "Fikia vipakuzi vyote vya mfumo" "Inaruhusu programu kuona na kurekebisha vipakuzi vyote vilivyoanzishwa na programu yoyote kwenye mfumo." "<Haina Kichwa>" "Upakuaji umekamilika" "Kupakua hakujafaulu." "Ukubwa wa kipakuzi uhitaji Wi-Fi" "Imesitishwa katika usuli." "Kipakuzi ni kikubwa zaidi kwa mtandao wa mtoa huduma" "Lazima utumia Wi-Fi ili ukamilishe kipakuzi cha %s . "\n\n"Gusa %s ili kuanzisha upakuaji huu wakati utakapounganishwa tena kwenye mtandao wa Wi-Fi." "Weka katika foleni ya kupakulia baadaye?" "Kuanza kupakua kipakuzi hiki cha %s kunaweza kufupisha maisha ya betri yako na / au kusababisha matumizi makubwa ya muunganisho wa data wa simu yako ya mkononi, jambo ambalo linaweza kusababisha kutozwa na mtoa huduma wako wa simu ya mkononi kulingana na mpango wako wa data. "\n" "\n" Guza %s ili kuanza kupakua wakati utakapokuwa umeunganishwa na mtandao wa Wi-Fi." "Foleni" "Ghairi" "Anza sasa" "%d%%" "Faili 1 inapakua" "Faili %d zinapakua" "Faili 1 inasubiri" "Faili %d zinasubiri" "%s zinazosalia" "Haiwezi kufungua faili"